Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Chicharito kurejea Manchester United?

Wednesday , 10th Aug , 2022

Mshambuliaji wa zamani wa Manchester United Javier Hernandez “Chicharito” ambaye kwa sasa anacheza katika klabu ya LA Galaxy ya Marekani amesema yupo tayari kurejea Manchester United ili kusaidi kutatua changamoto ya eneo la ushambuliaji ambalo linaonekeana kuisumbua klabu hiyo kwa sasa.

Javier Hernandez 'Chicharito' yupo tayari kurejea Manchester United

Chicharito aliichezea Manchester United kwa misimu 6 kati ya msimu wa 2010-11 hadi 2014-15 ambapo alicheza michezo 157 na alifanikiwa kufunga magoli 59, akiwa na The Red Devils ameshinda makombe 4 ikiwemo ubingwa wa Ligi Kuu England EPL mara 2.

Chicharito amesema kama atapata ofa ya usajili kutoka Manchester United yupo tayari kujiunga na klabu yake hiyo ya zamani.

"Ikiwa United watakuja kwangu nitasema ndiyo, nitacheza bure.' bila shaka, unajua, nitafanya hivyo. pia nataka kuwa na heshima kubwa kwa klabu yangu la Galaxy’’. Amesema Chicharito

Mshambuliaji huyo raia wa Mexico amesema hayo kufuatia Manchester United kuwa na mahitaji kwenye eneo la ushambuliaji kufuatia kuumia kwa Antony Martial lakini pia Christiano Ronaldo anataka kuondoka klabu hapo hivyo kocha Erik ten Hag anahitaji kuongeza nguvu, na wachezaji Benjamin Sesko na Marko Arnautovic wote wanahusishwa kujiunga na klabu hiyo.

HABARI ZAIDI

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali

Daktari wa GGML aliyebobea katika magonjwa yatokanayo na kazi, Cretus Karwan akimpatia vipimo mmoja wa wananchi waliotembelea banda la GGML na kupatiwa huduma za awali za upimaji wa afya katika maonesho ya OSHA yanayoendelea jijini Arusha.

Wananchi 200 wapimwa afya maonesho ya OSHA

Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), Tumaini Nyamhoka akipokea zawadi kutoka kwa Ofisa Mwandamizi wa masuala ya jamii na maendeleo ya kiuchumi kutoka GGML, Ruth Mharagi alipotembelea banda la GGML katika maonesho ya afya na usalama mahali pa kazi jijini Arusha.

TUCTA, OSHA wataka kampuni za madini kuiga ubunifu