
Kamanda wa Polisi Mkoani Shinyanga Janeth Magomi amesema kuwa mtuhumiwa huyo amekatwa August 12 baada ya Jeshi la Polisi Mkoani Shinyanga kupokea malalamiko kutoka mmoja wa familia hiyo
Kamanda Magomi amesema Jeshi hilo linamshikilia mchungaji wa kanisa hilo ambaye jina lake limehidhiwa kwa ajili ya uchunguzi zaidi na taratibu zikikamilika atafikishwa mahakamani kujibu tuhuma zinazomkabili.