
Kamanda wa polisi Bernardino Rafael amesema kwamba baadhi ya magaidi waliuawa kwa majeraha ya risasi wakati wakijibizana risasi na askari, huku wengine wakishambuliwa na wanyama wakali haswa Simba na Mamba .
Kamanda huyo alikua akitoa taarifa hiyo wakati akizungumza na wakazi wa wilaya ya Quissanga iliyopo jimbo la Cabo Delgado