
Katibu Mkuu wa Wizara ya Mifugo anaeshulikia sekta ya mifugo Tixon Nzunda
Hayo yamesemwa na Katibu Mkuu wa Wizara ya Mifugo anaeshulikia sekta ya mifugo Tixon Nzunda wakati akizungumza na wafugaji wa asili waliyopanga katika ranch ya taifa ya west kilimanjaro na kuwataka wafugaji hao kulima malisho.
Mkurugenzi mtendaji wa kampuni ya ranchi za taifa Peter Msofe amesema bodi ya ranchi za taifa wameamua kufanya mabadiliko ya ufugaji ili kuhakikisha wanakuwa na vituo vya umahiri katika uzalishaji.
Nao baadhi ya wafugaji wa asili waliyopanga katika ranchi hiyo wameiomba serikali kuwaongezea muda wa kupangisha huku wakiiomba serikali kukiangalia kiwanda kilichopo namanga.