Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Waziri Mkuu Uingereza asitisha mpango wa kodi

Monday , 3rd Oct , 2022

Waziri Mkuu wa Uingereza Liz Truss amelazimika Jumatatu kubadilisha mipango ya kupunguza kiwango cha juu zaidi cha ushuru wa mapato ambayo yaliibua uhasama katika chama chake na kuchochea msukosuko katika soko la fedha.

Liz Truss, Waziri Mkuu wa Uingereza

Truss, na waziri wake wa fedha Kwasi Kwarteng, walitangaza "mpango mpya wa ukuzaji uchumi" mnamo Septemba 23 ambao ungepunguza ushuru na udhibiti, kwa kuongeza ukopaji mkubwa wa serikali ili kuondoa mdororo wa uchumi uliokwama kwa miaka mingi.

Saa chache tu baada ya Truss kwenda kwenye runinga ya BBC kutetea sera hiyo, Kwarteng alitoa taarifa akisema anakubali imekuwa kikwazo kutoka kwa juhudi pana za kusaidia kaya wakati wa baridi kali. Kutokana na hilo, ametangaza kwamba hawaendelei na kufuta kiwango cha kodi cha asilimia 45. 

"Kutokana na hilo, natangaza kwamba hatuendelei na kufuta kiwango cha kodi cha asilimia 45. Tumewaapata, na tumewasikiliza," alisema katika taarifa hiyo.
 

HABARI ZAIDI

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, January Makamba,

China yaahidi kuendelea kufadhili miradi Tanzania

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali