Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Vijiji 12 kupitiwa na mradi wa gesi Mtwara

Tuesday , 4th Oct , 2022

Vijiji kumi na mbili katika halmashauri ya Mtwara vinatarajiwa kupitishiwa bomba la gesi asilia la lenye urefu wa kilomita 35.

Mradi wa gesi asilia

Wananchi na wakazi wa vijiji hivyo wametakiwa kutoa ushirikiano kwa shirika la  maendeleo ya petroli  Tanzania ( TPDC) kwa ajili ya kufanya tathimini  ya mali, na  kulipwa fidia zao, kwa ajili ya kuanza utekelezaji  mradi huo.

Akizungumza  na wananchi wa Kijiji cha  Moma  kata ya Moma  wakati wa kutambulisha mradi huo, Mkuu wilaya ya  hiyo, Dustan Kyobya  amewataka wananchi kupokea mradi huo,  huku Emmanuel Simon meneja  gesi asilia  toka shirika la maendeleo ya petroli Tanzania,  akieleza namna ambavyo matumizi ya gesi asili yameongezeka kutokana na kuwapo kwa ukame hapa nchini.

Baadhi ya wananchi wakazungumzia uwapo wa mradi huo katika vijiji vyao, wamesema ni mradi muhimu na kwamba serikali na wawekezaji wajitahidi kuhakikisha vijiji vinavyopitiwa na mradi huo vinawanufaisha wakazi wa maeneo hayo kwa kutoa fursa za kujiingizia kipato kwa wenyeji.

HABARI ZAIDI

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine