Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mhagama asisitiza posho za watumishi wa umma

Thursday , 6th Oct , 2022

Serikali imeziagiza mamlaka za ajira kote nchini kuhakikisha kuwa, zinaendelea kulipa na kutekeleza haki na stahiki zote za watumishi wa umma nchini ikiwa ni pamoja na kutenga bajeti ya kila mwaka ya mafunzo na posho za watumishi kuweza kushiriki michezo kwani ni haki yao kisheria.

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora,  Jenista Mhagama,

Maagizo hayo yametolewa na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora,  Jenista Mhagama, wakati akifungua rasmi mashindano yanayohusisha Watumishi wa Umma  kutoka wizara, Idara na Taasisi zote za serikali Tanzania (SHIMIWI) yanayofanyika Kitaifa mkoani Tanga. 

Wakizungumza Katibu Mkuu wa Chama cha Wafanyakazi wa Serikali na Afya Tanzania (TUGHE) na Katibu Mkuu wa Shirikisho la Wafanyakazi  (TUCTA), Henry Mkunda, wamesema kuwa vyama hivyo vinaendelea kuwajengea uwezo watumishi kote nchini mara baada ya kustaafu waweze kuendesha maisha yao bila kikwazo chochote. 

Kwa upande wake Afisa Masoko kutoka kampuni ya Agri Com Afrika, inayojihusisha na usambazaji na uuzaji wa zana za kilimo Tanzania Baraka Konkara, amesema wameamua kudhamini mashindano hayo ili kuweza kuboresha afya za wafanyakazi hususani wawapo makazini pamoja na kuwahamasisha wafanyakazi hao kushiriki katika kilimo ili kuweza kujikwamua kimaisha. 

HABARI ZAIDI

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine