Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Dc Ilala aonya wabadhilifu kwenye Miradi.

Thursday , 6th Oct , 2022

Halmashauri ya Jiji la Dar es salaam limekemea vikali ubadhilifu wa vifaa vya Ujenzi kwenye miradi mbalimbali ya Jiji Hilo na kuziagiza kamati za ujenzi kufanya Udhibiti kikamilifu ili miradi hiyo ikamilike Kwa wakati na ubora uunaotakiwa

Mkuu wa wilaya ya Ilala Ng'wilabuzu Ludigija.

Mkuu wa wilaya ya Ilala Ludigija katika ziara ya kukagua miradi  amesema kumekuwa na ujanja ujanja wa baadhi ya wakandarasi kufanya udanganyifu wakati wa kuagiza vifaa vya Ujenzi ikiwemo mchanga na kokoto  hivyo kukwamisha Kasi ya Ujenzi wa miradi Kwa wakati na  kuisababiashia serikali harasa ya kujenga mara mbilimbili

"Sasa tumeamua kupitia kamati ya ulinzi na usalama ya wilaya ya Ilala tutahakikisha tunafuatilia Kwa karibu miradi yote inayotekelezwa  ili ijengwe Kwa ubora kama mikataba inavyoelekeza" amese Ng'wilabuzu Ludigija-Mkuu wa wilaya ya Ilala

Ziara ya Kamati yavukinzi na usalama imefanyika Kwa siku mbili ambaoo imekagua Ujenzi wa vituo vya afya ambayo vinajengwa Kwa fedha za tozo,Ujenzi na upanuzi wa soko la kigogo fresh ambalo kinajengwa wa fedha za uviko sambamba na Ujenzi wa shule ya sekondari Liwiti ambayo inajemgwa Kwa mtindo wa ghorofa na mradi wake utagharimu zaidi ya shilingi bilioni 1.4

HABARI ZAIDI

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, January Makamba,

China yaahidi kuendelea kufadhili miradi Tanzania

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali