Bangi
Hatua hiyo imefikiwa baada ya Jeshi hilo kuendesha opersheni nchi nzima kuanzia Septemba Mosi mwaka huu hadi Oktoba 25 ambapo pia katika operesheni hiyo mashamba ya bangi hekari 9.55 na miche ya mirungi ipatayo 220 iliteketezwa.
Taarifa hiyo imetolewa leo Oktoba 27, 2022, na Mkuu wa Kitengo cha kuzuia dawa za kulevya nchini Makao Makuu ya Upelelezi, Kamishina Msaidizi wa Polisi ACP Amon Kakwale.