
Rais huyo alipendekeza mabadiliko ya masuala ya uchaguzi ambayo yatabadilisha tume ya uchaguzi ya nchi hiyo
Rais Andres anasisitiza kuwa taasisi hiyo inashikiliwa na watu wenye ushawishi, lakini wapinzani wanasema mabadiliko hayo yataondoa nguvu yake ya kuwa huru na kuifanya kuwa ya kisiasa zaidi.