Aidha majirani wa wanandoa hao wameeleza kuwa wakati wanapata ajali hiyo mume alikuwa akimpeleka mke wake kazini kwa kutumia pikipiki baada ya gari lao kupata pancha
"Waliofariki ni mume na mke, wameacha watoto watatu mkubwa wa kiume yupo kidato cha tatu na wa mwisho bado ni mdogo zaidi ananyonya" amesema Joachim Kahumbi ambaye ni jirani wa wanandoa hao