Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Producer wa East Africa Radio ashinda tuzo

Sunday , 1st Jan , 2023

Muandaaji wa kipindi cha MamaMia cha East Africa Radio, Anna Abdallah Sombida amefanikiwa kushinda tuzo ya 'Best Radio Producer' kwenye hafla ya utolewaji wa tuzo za uandishi wa habari za watoto zilizotolewa na Jukwaa la Wahariri (TEF) kwa kushirikiana na UNICEF Tanzania.

Muandaaji wa kipindi cha MamaMia cha East Africa Radio, Anna Abdallah Sombida akipokea cheti baada ya kushinda tuzo.

Anna Sombida amesema, tuzo hiyo imempa nguvu na motisha ya kufanya kazi kwa bidii zaidi, kwani kitendo cha kupata tuzo hiyo kimemuonesha kuwa kumbe kazi anayoifanya inaonekana na ina nguvu kubwa, huku akiwashukuru TEF na UNICEF Tanzania kwa kutambua mchango wa waandishi wa habari katika jamii.

Anna Sombida amesema kuwa, East Africa Radio ina mchango mkubwa sana katika kumkuza na kumfikisha hapo alipo, kwani amekuwa akipewa nafasi ya kujifunza vitu vingi na kuongozwa vizuri kitu kilichopelekea kukomaa zaidi katika nafasi yake hiyo ya uandaaji wa vipindi.

Pia amewataka waandishi wengine wa habari kutokukata tamaa na kuchangamkia fursa pale zinapotokea, na ikitokea hawajafanikisha wasikate tamaa kwani hata yeye hii si mara ya kwanza kushiriki katika tuzo hizo, mwaka jana alishiriki lakini hakufanikiwa kupata lakini amekuja kupata mwaka huu.

HABARI ZAIDI

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali

Daktari wa GGML aliyebobea katika magonjwa yatokanayo na kazi, Cretus Karwan akimpatia vipimo mmoja wa wananchi waliotembelea banda la GGML na kupatiwa huduma za awali za upimaji wa afya katika maonesho ya OSHA yanayoendelea jijini Arusha.

Wananchi 200 wapimwa afya maonesho ya OSHA