Monday , 23rd Jan , 2023

Serikali ya Afrika Kusini imesambaza picha na video za ziara ya Waziri wa Mambo ya Nje wa Urusi Sergei Lavrov, ambapo amekutana na mwenzake wa Afrika Kusini Naeldi Pandor mjini Pretoria

Licha ya nchi nyingi za Magharibi kukata uhusiano na Urusi juu ya uvamizi wa Ukraine, nchini Afrika Kusini msimamo unabaki kuwa katikati.

Licha ya shinikizo kadhaa la kulaani uvamizi wa Urusi, Afrika Kusini imeendelea kutoegemea upande wowote   kwa kukatishwa tamaa na Ukraine