Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Ruvu Shooting yalia na matokeo mabaya ligi kuu

Friday , 27th Jan , 2023

Klabu ya Ruvu Shooting imesema haridhishwi na mwenendo wa matokeo mabaya wanayoyapata hadi kuwafanya washike mkia kwenye msimamo wa Ligi Kuu NBC Tanzania msimu huu wa mwaka 2022-23 kwa kuwa na alama 14 baada ya kucheza

Afisa Habari wa klabu ya Ruvu Shooting Stars, Masau Bwire amesema upinzani mgumu uliopo kwenye Ligi kuu  NBC Tanzania unawafanya wapate tabu lakini wameahidi kupambana zaidi kwani wanaimani watarejea kwenye ubora wao na kusalia ligi Kuu.

“Tuko kwenye nafasi mbaya na hatujaridhishwa kuwa katika nafasi huyo kwa sababu sio nzuri kabisa na kamwe hakuna mtu anayeridhishwa na kitu kisicho kizuri hivyo tutazidi kupambana.

“Kushindwa kupata matokeo mazuri haina maana ya kuwa timu haijitumi au shida ipo kwa walimu wao ila inatokea hivo kwa sababu ya ligi kuwa ngumu na kuwa ya ushindani wa hali ya huu hivyo kila timu inahitaji kupata ushindi ili iwe katika nafasi nzuri,” amesema Bwire.

Kwenye msimamo wa ligi kuu Ruvu Shooting inayoshika mkia ikiwa na alama 14 inahitaji kufikisha alama 23 itoke kwenye hatari ya kushuka daraja au ipate alama 6 ambazo zitawaweka kwenye nafasi ya 13 nafasi ambayo itamuwezesha kucheza michezo ya ‘Playoff’ kuwania kusalia hiyo..
 

HABARI ZAIDI

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine