Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Baba ambaka bintiye tangu 2022, amharibu kizazi

Tuesday , 31st Jan , 2023

Christina Dotto mama wa binti wa miaka 11 anayesoma darasa la 4 jijini Mwanza, anaomba msaada wa matibabu kwa binti yake anayedaiwa kubakwa na baba yake mzazi kuanzia mwanzoni mwa 2022 na kusababishiwa maumivu makali ya kiuno, mgongo na kuwa na maumivu kwenye kizazi na anatokwa usaha.

Christina Dotto, Mama wa binti aliyebakwa

Mama huyo amesema mzazi mwenzake huyo ambae haishi nae alimuomba mtoto huyo aende nyumbani kumsalimia ndipo akaanza kumbaka binti yake huyo huku akimtishia, anasema tayari baba huyo ameshahukumiwa kifungo cha maisha jela lakini hali ya binti yake huyo siyo nzuri kutokana na kulalamika kuumwa mara kwa mara.

"Wakaniambia kwani hauna taarifa?, mbona huyo mume wako huwa analala na mwanao? Mke mwenzako ameshashtaki mara nne, basi nikampeleka mtoto hospitali ikagundulika ameshalala nae tena siyo mara moja na mtoto alikuwa amedhoofika na kutoa usaha kizazi kilikuwa kimeshaharibika ninachotaka mimi mwanangu akachunguzwe kizazi kama kinafaa naomba serikali inisaidie mtoto wangu apone," ameomba Mama huyo

Dkt. Esther Kafururu ni dakatari wa hospitali ya wilaya ya Nyamagana anaeleza athari za ubakaji alizopata binti huyo na kushauri aendelee na matibabu.

"Huyu mtoto apate mwendelezo wa matibabu lakini pia hajapata darasa la mambo ya saikolojia maana ameathirika kwa kiwango kikubwa sana lazima apate muendeleo pia wa kutibiwa saikoloji walau akili yake ikae sawa tunaomba Watanzania wamsaidie na apate bima ya matibabu," amesema Daktari huyo

HABARI ZAIDI

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90