Hivi karibuni mahakama iliamuru atumikie kifungo cha mwezi mmoja gerezani baada ya kukaa mahabusu miezi kumi na moja
Asubuhi ya leo Februari 18 askari Magereza walimrudisha nyumbani kwake akiwa mzima wa afya na baadae wafuasi wake kukusanyika na kutaka kusikia neno lake






