Biden amesema familia zote zilizoathiriwa katika kaunti za Carroll, Humphreys, Monroe, na Sharkey watapatiwa fedha za kujikimu.
Dhoruba hiyo iliyodumu kwa dakika kumi imetokea usiku watu wakiwa wamelala huku kukiwa na tahadhari ya dhoruba nyingine kuzuka katika maeneo ya Alabama na Georgia.



