
Akizungumza kuhusu pambano hilo Promota wa Pambano hilo ni mbunge Sophia Mwakagenda amebainisha kuwa Lengo la pambano hilo ni Kuchangisha pesa za kusaidia kununua taulo za kike, Kwa Wanafunzi wanawake wa nyanda za juu Kusini.
Pambano hilo kubwa litapigwa April 4, 2023 jijini katika uwanja wa Jamhuri Dodoma.