Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Umoja wa Afrika watoa kauli maandamano ya Kenya

Tuesday , 28th Mar , 2023

Umoja wa Afrika umetoa wito wa utulivu na kutoa wito wa kufanyika mazungumzo kufuatia maandamano ya upinzani nchini Kenya ambayo yamegeuka kuwa vurugu na kusababisha vifo vya watu watatu tangu wiki iliyopita.

Kiongozi wa upinzani Raila Odinga ameitisha maandamano ya kupinga gharama kubwa ya maisha na kile anachokiita haki ya uchaguzi baada ya uchaguzi wa mwaka jana.

Katika taarifa, Mwenyekiti wa AU Moussa Faki Mahamat aliwataka  wadau kuwa watulivu na kushiriki katika mazungumzo ili kushughulikia tofauti zozote.

Alisema mwenendo wa uchaguzi wa mwaka jana ulifanikiwa na matokeo kuthibitishwa na Mahakama ya Juu.

"Mwenyekiti anasisitiza mshikamano wa jumla na kuunga mkono juhudi za serikali na watu wa Kenya zinazofanya kazi kuelekea umoja wa kitaifa, amani na utulivu nchini," ilisema taarifa hiyo.

Viongozi wa kidini wa Kenya pia wametoa wito wa mazungumzo yasiyo na masharti kati ya Rais William Ruto na Bw Odinga.

HABARI ZAIDI

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine