Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Asimamishwa kazi kwa kuiba zana haramu za uvuvi

Thursday , 30th Mar , 2023

Mkuu wa Wilaya ya Muleba Mkoani Kagera Dk. Abel Nyamahanga amemsimamisha uongozi mwenyekiti wa kambi ya wavuvi - BMU Thobias Masebwe wa  mwalo wa Magarini kata ya Nyakabango, kwa tuhuma ya kuiba zana za uvuvi haramu, ambazo zilikamatwa kwenye doria na kuhifadhiwa katika mwalo huo

Akizungumza wakati wa kuteketeza zana haramu za uvuvi Dk. Nyamahanga amesema kuwa zoezi la ukamataji wa zana hizo limefanyika kwa muda wa miezi mitatu na kwamba ndani ya kipindi hicho doria 28 zimefanyika

Mkuu huyo wa Wilaya amesema kuwa zana hizo ambazo anatuhumiwa kuziiba mwenyekiti huyo wa BMU, anadaiwa kushirikiana na mjumbe wa kambi hiyo ambaye pia amesimamishwa uongozi

Zana zilizoteketezwa leo ni makokoro 80, nyavu za timba 217, nyavu za makira 320 na tupatupa tatu zote zikiwa na thamani ya zaidi ya shilingi milioni 97.7

Kwa upande wake Afisa uvuvi Wilaya ya Muleba Wilfred Tibendelana amesema kuwa wanaendelea kufanya doria za mara kwa mara upande wa visiwani na nchi kavu, ili kuwabaini watu wanaojihusisha na vitendo vya uvuvi  usiokubalika kisheria, ili waweze kuchukuliwa hatua, lengo likiwa ni kulinda rasirimali za ziwa Victoria.

Nao baadhi ya wananchi katika wilaya hiyo wamesema kuwa vitendo vya uvuvi haramu  vimekuwa vikirudisha maendeleo nyuma na kusababisha samaki kupungua ziwani

HABARI ZAIDI

Picha za Satelaiti Zikionyesha Mwenendo wa Kimbunga Hidaya

Kimbunga Hidaya chaendelea kutawala eneo la Pwani

Madaktari Bingwa wa Mama Samia Wakiendelea na Upasuaji

Uvimbe wa kilo 5 waondolewa tumboni kwa mwanamke

Rocket Mwashinga, Chifu Mkuu wa Kabila la Wasafwa

Chifu Mwashinga akemea washirikina kutesa watu

Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wanahabari na Wadau wengine kwenye Maadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Vyombo vya Habari Duniani yaliyofanyika kwenye Ukumbi wa Mikutano wa Jakaya Kikwete, jijini Dodoma leo Mei 03, 2024.

Watendaji serikalini ondoeni ukiritimba - Majaliwa

Kamanda wa Polisi mkoa wa Morogoro SACP Alex Mkama, akionesha vitu vilivyokuwa vimeibiwa

Fundi ujenzi mbaroni mauaji ya dada wa kazi

Wahitimu wa Mafunzo ya Jeshi la Kujenga Taifa JKT

Wahitimu JKT watakiwa kulinda miradi ya serikali

Daktari wa GGML aliyebobea katika magonjwa yatokanayo na kazi, Cretus Karwan akimpatia vipimo mmoja wa wananchi waliotembelea banda la GGML na kupatiwa huduma za awali za upimaji wa afya katika maonesho ya OSHA yanayoendelea jijini Arusha.

Wananchi 200 wapimwa afya maonesho ya OSHA