Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mradi wa mabilioni kutekelezwa Dar Es Salaam.

Monday , 5th Jun , 2023

Halmashauri ya jiji la Dar es salaam imetenga zaidi ya shilingi bilioni 5 kwa ajili ya kutengeneza barabara za kiwango cha lami kwenye majimbo matatu ya Ilala, Ukonga na Segerea.

Mkurugenzi wa Halmashauri ya jiji hilo Mhandisi Amani Mafuru amesema wametekeleza  agizo la serikali la kutaka Halmashauri zitenge asilimia 10 ya mapato ya ndani kwa ajili ya miundombinu na wamefanikiwa kwenye agizo hilo ndio maana utekelezaji umeanza mara moja.

Kwa upande wake Mstahiki Meya wa Halmashauri ya jiji la Dar es salaam Omary kumbilamoto amewataka wakandarasi waliopewa zabuni hiyo kufanya kazi kwa kasi ili kukamilisha mradi huo kwa wakati Pia ametoa angalizo kwa wakandarasi kutotumia vibaya mamlaka walizopewa.

Naye Mkuu wa Wilaya Ilala Edward Mpogolo  amezitaka pande zote zitakazohusika kuzingatia makubaliano yaliyo kwenye mkataba ili kusiwe na kikwazo.

Wawakilishi wa kampuni zilizopewa dhamana ya matengenezo ya barabara hizo wamesema watazingatia masharti yaliyopo kwenye mkataba na watajitoa zaidi ili kuepeuka kukwamisha mradi huo.

Wakandarasi hao wamepewa kipindi cha miezi sita kukamilisha ujenzi huo ambapo kazi ya usimamizi wa mradi huo utasimamiwa na TARURA kwa kushirikina na Halmashauri ya jiji.
 

HABARI ZAIDI

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine