Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Kenya yakumbwa na uhaba wa fedha

Wednesday , 8th Nov , 2023

Ofisi ya Hazina nchini Kenya imesema nchi hiyo inakabiliwa na uhaba wa fedha kutokana na madeni yanayoongezeka ambayo yamechelewesha utoaji wa fedha kwenye miradi mbalimbali ya maendeleo. 

Fedha ya Kenya

Waziri wa Fedha nchini humo Njuguna Ndung'u, ameiambia Kamati ya Fedha na Mipango ya Taifa kuwa kuongezeka kwa madeni ya muda mfupi, kushuka kwa shilingi na viwango vya riba kubwa kumepelekea nchi hiyo kukumbwa na hali ngumu ya kifedha.

"Tuko katika hali ngumu sana ya kifedha, kwa kiasi kikubwa imeletwa na ulipaji wa madeni ya muda mfupi, viwango vya riba kubwa na shilingi inayopungua ambayo imeongeza matumizi yetu kwa Ksh145 bilioni (dola milioni 945.1)," alisema Prof Ndung'u.

Waziri wa Nishati na Petroli Davis Chirchir, amenukuliwa akisema kuwa huenda bei ya mafuta ikapanda na kufikia Ksh300 (dola 1.98) kwa lita nchini Kenya ikiwa vita kati ya Israel na Hamas vitaendelea
 

HABARI ZAIDI

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, January Makamba,

China yaahidi kuendelea kufadhili miradi Tanzania

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali