Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Neuralink yafanikiwa kupandikiza chip

Tuesday , 30th Jan , 2024

Kampuni ya Neuralink inayomilikiwa na tajiri nambari mbili duniani, Elon Musk imefanikiwa kupandikiza kifaa cha kiteknolojia kwenye ubongo wa mwanadamu.

 

 

Ingawa hajatoa maelezo kamili ya mgonjwa wala kifaa hicho, ila inatajwa kuwa ni hatua muhimu kwa kifaa kinachoitwa ‘Telepathy’, chenye uwezo wa kumruhusu binadamu kutumia simu au kompyuta kwa njia ya kufikiria.

Akieleza kuhusu upandikizaji huo kupitia mtandao wa X Elon ameeleza kuwa Binadamu wa kwanza amepokea kipandikizi kutoka Neuralink mapema siku ya juz kwa mujibu wa kampuni hiyo mtu huyo na anaendelea vizuri

 

Kampuni hiyo ilipata idhini kutoka mamlaka ya chakula na dawa ya Marekani (FDA), kufanya jaribio lake la kwanza mwaka jana ambapo ilitangaza kutafuta watu wa kujitolea kupandikizwa.

 

Kupitia Neurotechnology iliyoanzishwa na bilionea huyo mwaka 2016, kampuni hiyo inalenga kujenga njia za mawasiliano ya moja kwa moja kati ya ubongo wa mwandamu na kompyuta.

 

Picha: viniloblog.com

HABARI ZAIDI

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine