Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mwanamke mmoja abakwa na kukatwa mkono Arusha

Thursday , 11th Apr , 2024

Mwanamke aliyetambulika kwa jina la Jescah Mneli mfanyabiashara mdogo wa viazi na mkazi wa Kijiji cha Orkokola Wilayani Arumeru Mkoani Arusha amekumbwa na tukio la kilatili mara baada ya vijana watatu ambao ni wafanyabiashara wenzake kumbaka na kisha kumkata mkono.

Jescah Mneli ambaye amekumbwa na tukio la kikatili kutoka kwa vijana watatu ambao ni wafanyabiashara wenzake kwa kumbaka na kisha kumkata mkono.

Tukio hilo linadaiwa kutokea Jumamosi ya Aprili 04, 2024 ambapo mwanamke huyo alipokutana na vijana ambao ni wafanyabiashara wenzake kisha kuelekea kwenye shamba la viazi ili kupanga bei na ndipo vijana hao wakamkamata kwa nguvu mama huyo kisha kumbaka na kumkata mkono.

Bi. Jescah anaiomba Serikali na wadau wengine kumsaidia kupata haki zake na kumudu gharama za matibabau wakati huu ambao anaendelea kutibiwa katika hospitali ya Seriani

Daktari Robert Julius ambaye anaendelea kumpatia matibabu mama huyo amesema kwa sasa anaendelea vizuri licha ya kuwa bado ana maumivu.

HABARI ZAIDI

Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

Balile achaguliwa kuwa Mwenyekiti EAES

Mhe. George Simbachawene, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora

Waliohitimu mafunzo ya uongozi wafundwa uadilifu

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine