Tuesday , 13th May , 2025

Andy Murray hatakuwa tena kocha wa Novak Djokovic katika safari ya kuwania taji la nane la Wimbledon mwezi Julai baada ya makubaliano ya pande zote mbili

Andy Murray na Novak Djokovic

Djokovic bingwa mara 24 wa Grand Slam alijiunga na Murray  Novemba 2024 ambapo chini ya Murray Mserbia huyo alifika nusu fainali ya Australian Open  

Mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 37 amekuwa na msimu mgumu  akipoteza mechi yake ya kwanza katika michuano minne kati ya mitano iliyopita na pia kuchapwa kwenye fainali ya Miami Open na Jakub Mensik mwenye umri wa miaka 19.