Zari na Shakib enzi za ndoa yao
Kupitia 'Insta Story' yake akieleza kwamba wamechukua uamuzi huo mgumu baada ya kutafakari na kufikiria sana na wanaamini utakuwa sahihi sababu ya kutokea tofauti isiyoweza kusuluhishwa.
Zari ameendelea kueleza maamuzi hayo hayakuwa mepesi lakini wanashukuru kwa kila muda waliokuwa pamoja kati yao, vitu walivyoshea pamoja na kumbukumbu safi walizozitengeneza.






