Marcus Rashford
Mshambuliaji huyo wa kimataifa wa Uingereza alikuwa na msimu mzuri wa mkopo huko Camp Nou, akifunga mabao 14 na kutoa asisti 14 katika mechi 49.
Hata hivyo, matatizo ya kikomo cha mishahara (financial fair play) na usajili mpya wa Anthony Gordon kutoka Newcastle vimezuia Barcelona kukamilisha dili hilo la kudumu
Uongozi wa Manchester United hautaki kusikia kabisa habari za ofa nyingine ya mkopo. Wanataka kumuuza moja kwa moja ili kuondoa mshahara wake wa pauni 325,000 kwa wik
Kwa sasa, Rashford ameweka kando masuala ya usajili na anaangazia michuano ya Kombe la Dunia la 2026 akiwa na timu ya taifa ya Uingereza huko Marekani, huku wakala wake akiendelea kutafuta suluhu ya kudumu ya mustakabali wake wa klabu





