Razack abaka mtoto na kumtupa mtoni
Mahakama ya wilaya ya Kilolo, mkoani Iringa imemhukumu Theonas Mwinuka maarufu kama Razack, mkazi wa Ruaha Mbuyuni, kifungo cha maisha jela baada ya kupatikana na hatia ya kumbaka na kumjeruhi mtoto wa kike mwenye umri wa miaka 8, kisha kumtupa mtoni.