Watu 41 wauawa vita ya wafugaji na wakulima Mmoja wa wafugaji kutoka maeneo ya katikati mwa Nigeria Zaidi ya watu 41 wameuawa katikati mwa Nigeria kwenye maeneo ambayo kawaida jamii za wakulima na wafugaji hushambuliana wakigombaniana ardhi. Read more about Watu 41 wauawa vita ya wafugaji na wakulima