''Mpira wa Tanzania ni Simba na Yanga''Tambwe

Mshambuliaji wa zamani wa Simba na Yanga, Amisi Tambwe alipokuwa anakabidhiwa mpira kwa kufunga Hat-Trick

Mshambuliaji wa zamani wa vilabu vya Simba na Yanga, Amisi Tambwe amesema wakati mwingine maoni yanayotolewa na wadau wa mpira nchini kuhusu maendeleo ya mchezo wenyewe huwa yana athiriwa na msukumo wa upande wa mtu anaoushabikia au anaoutumikia katika wakati husika.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS