''Nahitaji kurejea kwenye timu kubwa''Deo Kanda

Deo Kanda akishangilia bao enzi akiitumikia Klabu ya Simba .

Mshambuliaji wa zamani wa Klabu ya Simba, ambaye kwa sasa anaitumikia Mtibwa Sugar, Deo Kanda amesema malengo yake ni kuhakikisha anarejea katika vilabu vikubwa vya soka hapa nchini Tanzania.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS