Deo Kanda akishangilia bao enzi akiitumikia Klabu ya Simba .
Mshambuliaji wa zamani wa Klabu ya Simba, ambaye kwa sasa anaitumikia Mtibwa Sugar, Deo Kanda amesema malengo yake ni kuhakikisha anarejea katika vilabu vikubwa vya soka hapa nchini Tanzania.