Marekani kupeleka wanajeshi Somalia

Rais  Joe Biden ameripotiwa kuamuru kurejeshwa kwa mamia ya majeshi ya Marekani nchini   Somalia.
Rais aliyepita Donald Trump aliyaondoa majeshi ya nchi hiyo yapatayo 700 ambayo yalikua yakilinda amani nchini humo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS