Sheria 212 zatafsiriwa kwa Kiswahili Waziri wa Katiba na Sheria, Dkt. Damas Ndumbaro amesema Sheria 212 kati ya sheria 466 zilizopo hapa nchini, zimetafsiriwa kutoka kwenye lugha ya kiingereza kwenda kwenye lugha ya kiswahili. Read more about Sheria 212 zatafsiriwa kwa Kiswahili