Bolt yatishia kusitisha huduma zake Tanzania
Baada ya Kampuni ya Uber kusitisha baadhi ya huduma zake Nchini Tanzania, huenda Kampuni ya Bolt nayo ikafanya hivyo kwa upande wa huduma za Usafiri wa gari maarufu kama teksi kutokana na ada ya huduma ya 15% iliyowekwa na LATRA.