Mwili wa mtoto aliyezama ziwani waopolewa Mwili wa mtoto Rwegasila Jackson (14) aliyekuwa mkazi wa wilaya ya Muleba mkoani Kagera aliyezama kwenye maji ya Ziwa Victoria wakati akiogelea na wenzake kwenye fukwe za Gymkana umeopolewa leo. Read more about Mwili wa mtoto aliyezama ziwani waopolewa