TAKUKURU watakiwa kuwa mfano kwenye kutenda haki

Naibu Waziri, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Deus Sangu

Naibu Waziri, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Deus Sangu ameitaka TAKUKURU kuwa mfano kwa kujipambanua kutenda haki na kuonesha uadilifu katika jamii huku akisisitiza kuwa hatua kali zitachukuliwa kwa mtumishi yeyote atakayebainika kuwa sio muadilifu.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS