Drummond na Curry waipaisha Brooklyn Nets NBA

(Andre Drummond wakipongezana na Seth Curry baada ya kuifungia Nets)

Seth Curry na Andre Drummond wamesaidia kuipa ushindi wa kwanza Brooklyn Nets wa alama 109 kwa 85 dhidi ya timu ngumu ya Sacramento Kings alfajiri ya kuamkia leo Jumanne Februari 15 baada ya vichapo 11 mfululizo kwenye NBA.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS