Mkuu wa kitengo cha masoko kutoka DStv Baraka Shelukindo
Mkuu wa kitengo cha masoko kutoka DStv Baraka Shelukindo, amesema kwamba takribani nchi 32 zitakuwa zinaiangalia chaneli ya East Africa TV kupitia chaneli namba 384, baada ya kuanza kuonekana rasmi hii leo.