Namba ya bahati ya EATV ni 384

Mkuu wa kitengo cha masoko kutoka DStv Baraka Shelukindo

Mkuu wa kitengo cha masoko kutoka DStv Baraka Shelukindo, amesema kwamba takribani nchi 32 zitakuwa zinaiangalia chaneli ya East Africa TV kupitia chaneli namba 384, baada ya kuanza kuonekana rasmi hii leo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS