Mauaji nchini yamnyima usingizi Waziri

Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhandisi Hamad Masauni

Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi Mhandisi Hamad Masauni, amesema tangu ateuliwe kuongoza Wizara hiyo yapo mambo mawili yanayomnyima usingizi ikiwemo mauaji yanayotekelezwa na baadhi ya watu kwenye jamii pamoja na baadhi ya askari kufanya vitendo kinyume na maadili.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS