Watu 17 waangukiwa na Kanisa Kanisa lililoanguka Watu 17 wakazi wa kijiji cha Kakola kata ya Minkoto, waumini wa Kanisa la Baptist wilayani Chato wamenusurika kifo baada ya kuangukiwa na Kanisa wakiwa kwenye ibada ya Jumapili. Read more about Watu 17 waangukiwa na Kanisa