Muda ukifika nitazungumza- Mbowe

Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA, Freeman Mbowe.

Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA, Freeman Mbowe, ameomba aruhusiwe kuendelea kunyamaza kwa kipindi hiki ili awaone ndugu na familia yake pamoja na wakristo wenzake na wakati wa kuzungumza utakapofika atazungumza na Taifa.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS