Muda ukifika nitazungumza- Mbowe
Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA, Freeman Mbowe, ameomba aruhusiwe kuendelea kunyamaza kwa kipindi hiki ili awaone ndugu na familia yake pamoja na wakristo wenzake na wakati wa kuzungumza utakapofika atazungumza na Taifa.
