Silaa atamani Aweso apewe PhD kama ya Musukuma

Mbunge wa jimbo la Ukonga Jerry Silaa na kulia ni Waziri wa Maji Jumaa Aweso

Mbunge wa jimbo la Ukonga jijini Dar es Salaam, Jerry Silaa, amempongeza Waziri wa Maji Jumaa Aweso, kwa utendaji wake mzuri katika sekta ya maji na kudai kwamba wale wanaotoa PhD kama aliyopata mbunge wa Geita vijijini Joseph Musukuma,  punde na yeye watampatia.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS