Hatutaki kuishambulia Urusi - Rais Zelensky Rais wa Ukraine Volodymyr Zelensky Rais wa Ukraine Volodymyr Zelensky, amesema kwamba wao hawana nia na wala hawajapanga kuishambulia nchi ya Urusi na kuyataka majeshi ya Urusi kuondoka nchini kwake. Read more about Hatutaki kuishambulia Urusi - Rais Zelensky