Polisi aliyejinyongea mahabusu alikuwa peke yake

Msemaji wa Jeshi la Polisi nchini SACP David Misime

Msemaji wa Jeshi la Polisi nchini SACP David Misime, amesema Mkaguzi Msaidizi wa Jeshi la Polisi mkoani Mtwara Grayson Mahembe aliyejinyonga kwa dekio, alikuwa amewekwa kwenye mahabusu ya peke yake na wenzake walipelekwa kwenye mahabusu za Lindi ili wasiharibu ushahidi uliokuwa unakusanywa

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS