Waziri Mchengerwa aagiza kukuza soka la Vijana.

(Mhe. Waziri wa Michezo, Mohamed Mchengerwa na Kikosi cha Taifa Stars)

Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo, Mohamed Mchengerwa ameagiza kuanzwa kwa mchakato wa kupata vijana wenye vipaji kila pembe nchini ili waje kuiwakilisha timu ya Taifa siku za usoni kwenye michuano ya Kimataifa.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS