Wachezaji wa Simba SC wakipanda ndege tayari kwa safari ya kuelekea Kagera
Kikosi cha mabingwa wa Tanzania bara Simba SC kimeondoka Jijini Dar es salaam leo asubuhi kuelekea mkoani Kagera ambako kitacheza mchezo wa Ligi Kuu kesho Januari 26, 2020 dhidi ya Kagera Sugar.