Wafukuaji waondoka na mwili wa mtoto

Kaburi la mtoto Christian Samson lililofukuliwa

Mwili wa mtoto Christian Samson (1), aliyezikwaa siku ya Jumapili katika makaburi ya kitongoji cha Kipondoda wilayani Manyoni mkoani Singida, umefukuliwa na kuchukuliwa na watu wasiojulikana licha ya ndugu kuutafuta bila mafanikio.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS