Watu watano wakiwemo waandishi wafariki

Moja ya gari zilizopata ajali

Watu watano wakiwemo waandishi wa  habari wamefariki katika  ajali ya gari huku wengine wakijeruhiwa katika ajali iliyohusisha magari mawili kugongana uso kwa uso wilayani Busega mkoani Simiyu asubuhi ya leo Januari 11, 2022.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS