Simba inakata upepo baada ya dakika 30 - Minziro

Wachezaji wa Simba SC wakishangilia goli kwenye mchezo dhidi ya Geita

Kocha wa Geita Gold Fred Felix Minziro amesema sababu ya timu yake kuishambulia sana Simba kipindi cha pili kwenye mchezo wa Ligi Kuu ni kwa sababu anajua ubora wa Simba huwa ni dakika 30 tu za mwanzo wa mchezo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS