Mbunifu wa Louis Vuitton afariki dunia Picha ya Louis Vuitton Muanzilishi wa kampuni ya mavazi ya Off-White na mbunifu mkuu wa mavazi ya kiume katika kampuni ya Louis Vuitton, Virgil Abloh amefariki Dunia kwa ugonjwa saratani. Read more about Mbunifu wa Louis Vuitton afariki dunia